Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.
– Enock Maregesi –
© License assigned to YouCanQuoteME.
License CC BY-NC 4.0
📲 Copy this QR code to share the phrase wherever you want
Do you want to publish your thoughts, reflections, or your own quotes?
Publish your quotes